0
DC Bunda azindua bima ya afya kwa watoto kwa kishindoDC Bunda azindua bima ya afya kwa watoto kwa kishindo

MKUU wa wilaya ya Bunda, Lyidia Bupilipili, amezindua uandikishaji wa bima ya afya kwa watoto walio chini ya miaka 18 huku akitoa wito kwawazazi na walezi kuhakikisha wanatimiza wajbu wao kwa kuhakikisha kila anayelengwa anakatiwa ili aweze kupata huduma ya afya kwa uhakika. Akizungumza kwenye uzin…

0
Hivi ndivyo benki ya CRDB tawi la Musoma ilivyotoa mikopo ya bajajHivi ndivyo benki ya CRDB tawi la Musoma ilivyotoa mikopo ya bajaj

      NA SHOMARI BINDA-MUSOMA BENKI ya CRDB tawi la Musoma imeanza kutoa mikopo ya pikipiki ya magurudumu matatu(bajaj) pamoja na zile za magurudumu mawili kwa wajasiliamali vijana lengo likiwa ni kuwawezesha kiuchumi na kuondokana na umasikini. Utaratibu wa benki hiyo umeanza kwa kuwawezesha wajas…

0
Kamati zapewa mafunzo ya kupambana na ukatiliKamati zapewa mafunzo ya kupambana na ukatili

KAMATI za kupambana na masuala ya ukatili wa kijinsia katika halmashauri ya wilaya ya Rorya zimepewa mafunzo ya kupambana na masuala ya ukatili wa kijinsia ili ziweze kufanya kazi na kutolea taarifa vitendo vyote vya ukatili. Mafunzo hayo yametolewa kwenye kamati hizo ukiwa ni mwendelezo wa elimu k…

0
Shindano la Miss Mara 2018 lazinduliwa rasmiShindano la Miss Mara 2018 lazinduliwa rasmi

SHINDANO la kumtafuta mlimbwende wa mkoa wa Mara " Miss Mara 2018" limezinduliwa rasmi na mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dk. Vicent Naano, ili kutoa furasa ya kufanyika michakato mbalimbali hadi kufikia siku ya shindano lililopangwa kufanyika tarehe 7/7/2018 katika Manispaa ya Musoma huku waandaaji wa s…