
Profesa Sospeter Muhongo baada ya kusalimiana na Mama Maria Nyerere alikwenda kuweka shada la maua kwenye Kaburi la Baba wa Taifa mwalimu Julius Nyerere na kupata picha ya pamoja na wafanyakazi wa makumbusho ya Butiama
Baadae alipanda kwenye mlima uliopo karibu na alipozikwa Mwalimu Nyerere
Muhongo akiwa na Mama Maria Nyerere

Hapa akiteta jambo na Chief Japhet Wanzagi
Post a Comment
0 comments