Mkuu wa mkoa wa Mara, Adam Malima, akiongoza chakula cha jioni kilichoandaliwa na mbunge wa jimbo la Musoma mjini kwaajili ya kuipongeza timu ya Biashara United sambamba na kukabidhi zawadi kwa wacheza
Ndafu ya samaki pia ilikuwepo
Wachezaji wakiwa tayari kupata chakula cha usiku ndani ya maltivila beach
Mwendo wa kupata msosi
Haikuwa mchezo
Songa akipitia sangara
Mbunge Mathayo akipata chakula pamoja na wachezaji
Beki kisiki Malimbiche akipata chakula
Mpapi sio mchezo
Kapten Kauswa akishukuru kwa niaba ya wachezaji
Wanachama wa Biashara hawakuwa mbali
Meneja Aman akiwa na Mathayo
Wachezaji wakipata chakula
Kocha mkuu wa Biashara,Madenge Omary akitoa shukrani
Meneja Aman nae alitoa neno
Mwenyekiti wa kamati ya mipango na fedha wa timu,Marwa Mathayo akitoa neno
Mwenyekiti wa timu,Selemani Mataso,akishukuru
Meneja Aman akipokea bahasha!
Rumba pia lilisakatwa
Mwendo wa bahasha pesanimpesa!
Post a Comment
0 comments