KAMATI
ya Kombe la Mapinduzi, imefanya mabadiliko katika mechi za Robo Fainali
na sasa Tusker FC ya Kenya iliyokuwa iende Pemba kumenyana na URA ya
Uganda itabaki Unguja kumenyana na KCC ya Uganda pia.
URA sasa watamenyana na KMKM ya Unguja, ambayo awali ndiyo iliyopangiwa kucheza na KCC.
Mecho zote za Robo Fainali zitachezwa kesho, KMKM na URA Saa 8:00 mchana na Azam FC na Cloves Saa 10:00 jioni Uwanja wa Gombani, Pemba na Uwanja wa Amaan, mechi ya kwanza itakuwa kati ya KCC na Tusker Saa 10:00 na Simba SC na Chuoni Saa 2:00 Usiku.
URA sasa watamenyana na KMKM ya Unguja, ambayo awali ndiyo iliyopangiwa kucheza na KCC.
Tusker FC sasa itabaki Unguja kumenyana na KCC ya Uganda badala ya URA |
Mecho zote za Robo Fainali zitachezwa kesho, KMKM na URA Saa 8:00 mchana na Azam FC na Cloves Saa 10:00 jioni Uwanja wa Gombani, Pemba na Uwanja wa Amaan, mechi ya kwanza itakuwa kati ya KCC na Tusker Saa 10:00 na Simba SC na Chuoni Saa 2:00 Usiku.
souce BIN ZUBERY BLOG
Post a Comment
0 comments