Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano wa kimataiafa
wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika,
ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la Afrika, ulioanza leo
Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini
Arusha. Picha na OMR
02:- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizindua Kitabu cha Udhibiti wa Huduma za
Kiuchumi Bara la Afrika, wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa
siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika,
ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la Afrika, ulioanza leo
Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC jijini
Arusha. Kitabu hicho kimetungwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi
Maalum) Prof. Mark Mwandosya. Kulia ni Waziri wa Maji, Prof. Jumanne
Maghembe (kushoto) ni Mkurugenzi wa Ewura, Haruna Masebu. Picha na OMR
03:-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, akionyesha Kitabu cha Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara
la Afrika, baada ya kukizindua wakati wa ufunguzi
wa Mkutano wa Kimataifa wa siku mbili wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi
Bara la Afrika, ulioshirikisha mataifa mbalimbali kutoka Bara la
Afrika, ulioanza leo Aprili 16, 2013 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa
Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Kitabu hicho kimetungwa na Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Prof. Mark Mwandosya (kulia). Katikati
ni Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe. Picha na OMR
04:-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akionyesha zawadi baada ya kufungua wa Kimataifa wa siku mbili
wa Udhibiti wa Huduma za Kiuchumi Bara la Afrika, kutoka kwa Mkurugenzi
wa Ewura, Haruna Masebu. Mkutano huo ulioshirikisha mataifa mbalimbali
ya Bara la Afrika, umeanza leo Aprili 16, 2013 katika ukumbi wa Mikutano
wa Kimataifa wa AICC jijini Arusha. Picha na
OMR
05
na 06:- Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
washiriki wa mkutano huo baada ya ufunguzi.Picha na OMR
1
na 2:-Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakiwa ukumbini wakimsikiliza
Makamu wa Rais Dkt. Bilal wakati akiwahutubia. Picha na OMR
Post a Comment
0 comments