0
 
 MBATIA AKIWASILI KIJIJI CHA NYAMILEMA WILAYANI SERENGETI
 MBATIA AKIMSALIMIA MKE WA MAREHEMU SEBEKI
 WAOMBOLEZAJI
 MBATIA AKIMPA POLE MAMA WA MAREHEMU


 IBADA YA MAZISHI
 MBUNGE WA KASULU VIJIJINI AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
 MBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI NDERAKINDO KESSY PIA ALITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
 KATIBU MKUU WA NCCR MAGEUZI MOSES NYAMBABE AKISOMA WASIFU WA MAREHEMU NDANI YA CHAMA
 DIWANI WA KATA YA STEND KUU MJINI MUGUMU KUPITIA CHADEMA PIA ALITOA SALAMU
 MBATIA AKISISITIZA JAMBO
 NYAMBAMBE AKITOA HESHIMA ZA MWISHO

 SAFARI YA NYUMBA YA MWISHO YA SEBEKI
 TMETOKA MAVUMBINI TUTARUDI MAVUMBINI



 MBATIA AKIWEKA SHADA LA MAUA
 MBATIA AKIMPA POLE MKE WA MAREHEMU BAADA YA MAZISHI


MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia ameongoza wananchi wa Wilaya ya Serengeti kwenye mazishi ya aliyekuwa Kamishina wa Chama hicho mkoa wa Mara Stephine Sebeki katika Kijiji cha Nyamilema baada ya kuuwawa julai 22 kwa kukatwa mapanga.


Akitoa salama za rambirambi za chama hicho,Mbatia ambaye aliongoza na viongozi mbalimbali wa chama pamoja na wabunge wanaotokana na chama hicho,alisema walikipokea kifo cha Sebeki kwa masikitiko makubwa kutokana na tukio lililopelekea kifo chake na kudai ni lazima Serikali ione namna ya kukabiliana na matukio ya mauaji.

Post a Comment