0
MADAKTARI BINGWA WAKIMFANYIA UPASUAJI MMOJA WA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MARA,MADAKTARI BINGWA WA MAGONJWA MBALIMBALI WAPO MUSOMA KUPITIA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA(NHIF) NA TAYARI WAMESHAWAFIKIA WAGONJWA ZAIDI YA 500

 MMOJA WA WATOTO WALIOFANYIWA UPASUAJI WA KUTOA UVIMBE KICHWANI,FROLA JOSEPH MWENYE UMRI WA MIAKA 2 MKAZI WA NYAMATARE MANISPAA YA MUSOMA

 DOCTA RAPHAEL MALLABA AKIMTOLEA MAELEZO MGONJWA CHRISTINA LUDARA MKAZI WA MUSOMA VIJIJINI AMBAYE AMEPEA RUFAA YA KWENDA MUHIMBILI KUTOKANA NA UPASUAJI WAKE KUHITAJI VIFAA VYA ZIADA KUTOKANA NA KUFANYIWA OPARESHENI HAPO AWALI
Add caption
MADAKTARI KUTOKA (NHIF)WAKIMUANGALIA MGONJWA ALIYEFANYIWA OPARESHENI KUBWA

 MGONJWA AKIWA AMEPASULIWA NA MADAKTARI BINGWA
 MASHINE ZA UPASUAJI
 MWAKILISHI WA MKURUGENZI WA MFUKO WA BIMA YA AFYA, MICHAEL KISHIWA(KULIA)AKIZUNGUMZA NA MMOJA WA MADAKTARI BINGWA KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI
 DAKTARI BINGWA MA MAGONJWA YA WATOTO AKITOA HUDUMA

 WANANCHI WAKISUBILIA HUDUMA YA MADAKTARI BINGWA WALIOPO MUSOMA KUPITIA MSAADA WA NHIF




Baadhi ya wagonjwa waliopata huduma kutoka kwa madaktari bingwa,wameshukuru ujio wa madaktari hao kupitia (NHIF)kwa kupewa huduma nzuri ambazo wangeenda kuwafata walipo wangetumia gharama kubwa

Kwa upande wao madaktari bingwa kutoka hospitali ya Taifa ya Muhimbili,KCMC na Bugando wameiomba Serikali pamoja na Wizara ya Afya kuitupia jicho mikoa ya pembezoni ili iweze kupata huduma ya madaktari bingwa kutokana na changamoto ya wagonjwa waliokutana nao




Post a Comment