0
MAKADA 9 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameendelea kupita Kata za Jimbo la Musoma mjini kukutana na wanachama wa chama hicho kwenye kampeni ili waweze kuchaguliwa kwenye kura za maoni zitakazofanyika mwishoni mwa wiki hii huku kila mmoja akijitanabaisha kuleta mabadiliko ya kimaisha kwa wakzi wa Jimbo la Musoma mjini iwapo watapiishwa na chama chao kisha kushinda kwenye uchaguzi wa mwezi oktoba        


Docta Musuto Chirangi akiomba kura
Paul Kirigini akiwa na mtoto kwenye mkutano wa kampeni

 Nicodemas Nyamajeje akiomba kura


 kirigini akiomba kura
 Wananchi wa Kata ya Nyakato wakifatilia mkutano wa kampeni

 Mama Maneno akiomba Kura
 Musuto na Juma Mokili ambaye pia ni mgombea wakifurahia jambo


Post a Comment