HAPA timu ya Biashara United ikifanya utaratibu wa kuingia nchini jirani ya Kenya kwaajili ya kwenda kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya kombaini kutoka Isbania,katika mchezo huo uliofanyika mwishoni mwa wiki,Biashara ilichomoza na ushindi wa mabao 4-0
Wachezaji wakipewa maelezo kabla ya kuingia nchini Kenya
Nje ya mpaka wa Tanzania na Kenya
Mashabiki wa Biashara wakianza visa
Benchi la Ufundi Biashara
Wachezaji wa Biashara wakinyoosha viungo kabla ya mchezo
Kikosi cha timu ya Biashara kilichofanya mauaji
Kikosi cha Isbania kombaini kilichokula kichapo
Wadau wa Biashara United
Mlezi wa timu ya Biashara,Marwa Mathayo wa kwanza kushoto akifurahia jambo
Kocha wa Biashara Amani akifatilia mchezo
Macho mchezoni
Ni furaha na K Vant ikiendelea
Kocha akitoa maelekezo baada ya mchezo
Inapigwa
Wasomali wa Isbania wakiwa hoi baada ya kichapo
Kocha akiingia kumalizia dakika 10
Shangwe ziliendelea kutoka kwa mashabiki wa Biashara
Baada ya kurudi Musoma shangwe ziliendelea Maltivila Garden
Mwendo wa vyupa
Home
»
»Unlabelled
» ZIARA YA TIMU YA BIASHARA UNITED YA MUSOMA NCHINI KENYA JANA
Post a Comment
0 comments