MABINGWA wa soka mkoa wa Mara timu ya Igwe SC,leo imechomoza na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya mabingwa kutoka mkoa wa Simiyu timu ya Ambassador FC,katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Vijana mjini Muleba na kufikisha pointi 4 baada ya mchezo wa awali kutoka sare ya bila kufungana na timu ya Mashujaa kutoka mkoa wa Kigoma.
Baada ya matokeo hayo,kocha wa timu ya Igwe,Sospeter Charles maarufu kwa jina la Big Sos,amesema vijana wake wamemsikiliza na kucheza kwa kujituma na kupata matokeo hayo na amewahakikishia mashabiki wa soka hususani wa mkoa wa Mara kupata matokeo katika mechi zijazo na kuendelea kuwaombea dua
Kabla ya game kuanza muhimu kusalimiana
Mambo ya Fail Pray
Dua ni muhimu kabla ya mchezo kuanza
Kikosi kilichoanza kuinyamazisha Simiyu
Mapumziko Igwe ilitoka ikiongoza 1
Baadae kocha ni kutoa maelekezo zaidi
Majeruhi nao walipata nafasi ya kutibiwa
Msisitizo
Home
»
»Unlabelled
» Mabingwa wa mkoa wa Mara(Igwe SC) waigaragaza timu ya Ambassador ya Simiyu
Post a Comment
0 comments