0
 WACHEZAJI wa timu ya Biashara United na Dodoma Fc wakiingia kwenye uwanja wa Mgambo wilayani Mpwapwa kucheza mchezo wa ligi daraja la kwanza ambapo katika mchezo huo uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita timu ya Biashara ilishinda bao 1-0 na kufikisha pointi 17 huku Dodoma fc wakiwa na pointi 18 na vinara wa kundi C Alliance wakiwa na pointi 19 na ligi hiyo imesimama kupisha dilisha dogo hadi desemba 16.

Nahodha wa timu ya Biashara United,Gody Malimbiche akiwatambulisha wachezaji wa Biashara United kwa mkuu wa wilaya ya Mpwapwa,JABIR SHEKIMWERI


 Wachezaji wakisalimiana kabla ya kuanza mchezo
 Kikosi cha timu ya Biashara United kilichoanza mchezo huo
 Bechi la timu ya Biashara United
 Baadhi ya mashabiki wa Biashara United wakifatilia mchezo
 Nahodha wa timu ya Biashara akiwa chini baada ya kufanyiwa dhoruba
 Akitolewa nje ya uwanja
 Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa,JABIR SHEKIMWERI,(kushoto) akiwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde,(mwenye miwani) wakifatilia mchezo huo
 Meneja wa timu ya Dodoma Fc Madope Mwingira(mwenye kipara) akirumbana na mashabiki baada ya kufungwa
 Shabiki aliyekuwa akirumbana na Meneja wa Dodoma Fc akitolewa nje na askari kanzu

 Kocha wa timu ya Dodoma Fc,Jamhuri Kiwelu,akifatilia mchezo huo
 Kocha wa timu ya Biashara United,Madenge Omary akimueleza mwamuzi wa akiba

Mwamuzi akiita huduma ya kwanza baada ya kipa wa timu ya Biashara Hassan Nyaku kufanyiwa madhambi

 Hatari ikiondolewa golini
 Mchezaji wa timu ya Biashara akitolewa uwanjani kufanyiwa matibabu

 Diwani wa Kata ya Kitaji manispaa ya Musoma ambaye pia ni mwanachama wa Biashara United akigalala kwa kufuraha baada ya mchezo kumalizika na timu yake kuibuka na ushindi wa bao 1-0
 Furaha ikiendelea

 Ni mwendo wa furaha2

 Mashabiki wakiendeleza shangwe

 Shabiki wa timu ya Biashara maarufu kwa jina la Bandeko akiwa amejifunika bendera
 Wachezajji wakiwa njiani kurudi Musoma
 Meneja wa timu ya Biashara akizungumza na mashabiki katika wilaya Bunda mkoani Mara baada ya kufika na kuwasalimia
 Timu ilipoingia Musoma
 Mwenyekiti wa Biashara akizungumza na wachezaji kwenye hotel ya Maltivila
 Meneja wa Tigo mkoa wa Mara,Edwin Kisamo akizungumza na wachezaji na viongozi wa timu ya Biashara kama sehemu ya wadhamini wa timu hiyo
 Mkuu wa Wilaya ya Musoma.Vicent Naano alipofika kuwasalimia wachezaji mara baada ya kuwasili


Post a Comment