WAPIGANAJI WA M23 |
Waasi wa kundi la M23 katika Jamuhiri ya
Kidemokrasia ya Congo, wametangaza kusitisha vita kabla ya awamu ya pili
ya mazungumzo ya amani na serikali.
Hadi watu laki nane, wameachwa bila makao tangu waasi walipoanza mapigano dhidi ya serikali mwezi Mei.
"sisi daima tumekuwa tukitaka amani. Leo, tunatangaza kuwa tumesitisha vita'' alisema msemaji wa kundi hilo, Francois Rucogoza.
"hata kama serikali itakataa kutia saini makubaliano ya amani, tutaendelea na mazungumzo'' aliongeza kusema bwana Rucogoza.
Post a Comment
0 comments