Mamaku
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali mmoja kati ya wagonjwa waliokuwa mahututi, aliyelazwa
katika Hospitali ya Mount Meru, baada ya kujeruhiwa katika tukio la
mlipuko wa Bomu uliotokea katika hafla ya uzinduzi wa Kanisa jipya la
Katoliki Mt. Joseph Mfanyakazi la Olasiti jana mchana, jijini Arusha
jana.
Mamaku
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali mtoto Gabriel Godfrey (9) aliyelazwa katika Hospitali ya
Mount Meru, baada ya kujeruhiwa katika tukio la mlipuko wa Bomu
uliotokea katika hafla ya uzinduzi wa Kanisa jipya la Katoliki Mt.
Joseph Mfanyakazi la Olasiti jana mchana, jijini Arusha.
Mamaku
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali Restuta Alex (50) aliyelazwa katika Hospitali ya Mount
Meru, baada ya kujeruhiwa katika tukio la mlipuko wa Bomu uliotokea
katika hafla ya uzinduzi wa Kanisa jipya la Katoliki Mt. Joseph
Mfanyakazi la Olasiti jana mchana, jijini Arusha.
CHANZO-sufianimafotoblog
Post a Comment
0 comments