0
 FULL KUJIACHIA
 NI BATA
 ANATAFUTWA MR NA MISS VALANTINE DAY KWA AJILI YA KUJINYAKULIA MPUNGA WA 50,000
 MR VALENTINE AKIFURAHI NA WAPAMBE WAKE

 MSHINDI WA BSS 2013 EMANUEL MSUYA AKITOA BURUDANI
 

 KAYOMBO INTERTAINMENT CLEW
 DOCTA KAYOMBO AKIWA NA MHAZINI MKUU WA KAMPUNI NA KICHUPA MKONONI
 UFATILIAJI
 NIKO NA MKURUGENZI MKUU WA BURUDANI MUSOMA
 MSUYA AKITOA MPUNGA KWA MISS VALENTINE
MPUNGA PIA ULIMUHUSU MR VALENTINE

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya kayombo intertainment,docta Kayombo aaamesema baada ya kupata mafanikio kwenye show ya usiku wa valentine day ndani ya bwalo la polisi mjini Musoma sasa ameamua kuandaa utaratibu wa kuwapa burudani wakazi wa Musoma na mkoa wa Mara kwa ujumla kila mara.

Akizungumza na blog hii,Kayombo amesema kutokana na watu walivyopokea show hiyo anaamini wakazi wa musoma licha ya kujishughulisha na shughuli zao za kiuchumi baada ya kazi wanapenda kujipumzisha na kupata burudani.

Amesema kwa sasa baada ya kuagiza na kufika vyombo vya kisasa vya muziki kilichobaki ni kuhakikisha wakazi wa musoma na vitongoji vyake wanapata burudani nzuri wakati wa mapumziko ya mwisho wa wiki

Post a Comment