0
 MKURUGENZI MKUU WA PSPF AKIFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA MKOA WA MARA OFISINI KWAKE KUJUA FURSA ZILIZOPO MKOANI

 MKURUGENZI MKUU WA PSPF ADAM MAINGU AKIMKABIDHI KALENDA YA MWAKA 2014 MKUU WA MKOA JOHN TUPA

 MKURUGENZI WA PSPF AKIZUNGUMZZA NA WAKURUGENZI WA WA HALIMASHAURI,MJI NA MANISPAA ZILIZOPO MKOANI MARA

 MAAFISA WA PSPF WAKISIKILIZA MAELEZO YA MKURUGENZI MKUU AKIONGEA NA WAKURUGENZI
 BAADAE ILIKUWA NI CHAKULA CHA JIONI NA WADAU WA PSPF UKUMBI WA MAMBA PENUSLA HOTEL
 MJASILIAMALI AMANI RICHARD AKICHANGIA MADA JUU YA MASUALA YA ELIMU KWA WAJASILIAMALI ILI WAWEZE KUJIUNGA NA MFUKO
 MKUU WA MKOA WA MARA JOHN TUPA AKIZUNGUMZA KATIKA DHIFA YA CHAKULA CHA JIONI ILIYOANDALIWA NA PSPF

 MAMBO YA MSOSI SASA
 KULA VITU AMANI
 MARATO WA ITV HAKUWA MBALI
MFUKO  wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma  PSPF  umetangaza mkakati wake wa kuwanufaisha Watanzania ambao si watumishi wa umma kwa kujiunga na mfuko  wa uchangiaji kwa hiari wa PSS.

Katika mpango huo makundi ya Wajasiliamali,Wavuvi,Wakulima na makundi mengine katika jamii ambayo yamejiajiri sekta isiyo rasmi yakipewa kipaumbele katika mfuko huo.

 
Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa PSPF Adam Maingu,alitoa kauli hiyo mjini Musoma wakati akizungumza na viongozi na wawakilishi wa wanachama wa mfuko huo katika wilaya ya Musoma na Butiama mkoani Mara.

Post a Comment