0
 
 M-NEC MATHAYO AKIZUNGUMZA NJE YA OFISI ZA KATA YA NYAMATARE ALIYOSAIDIA KWA ASILIMIA 70 KUJENGA
 SHINA LA WAKELEKETWA LILIFUNGULIWA NA VIJANA KUSAIDIWA LAKI TANO KWAAJILI YA MRADI WA UFUGAJI KUKU
 RISALA INASOMWA
 UFUNGUZI WA OFISI YA KATA



 KUITEMBELEA NDANI
 MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MARA IKIFURAHIA JAMBO NA KATIBU WA CCM WILAYA YA MUSOMA MJINI

 OFISI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KATA YA NYAMATARE
 WANATETA MWENYEKITI WA MKOA NA MNEC WA MUSOMA
 MASUMBUKA PIA ALITUPIA NENO KWENYE MKUTANO WA HADHARA

 MWENEZI WA CCM MUSOMA MJINI RAMADHANI CHACHA"MUSOMA BUS"
 NI KAMA WANASEMA"MKUTANO UKO VIZURI NN"
 VEDASTUS MATHAYO
 CHRISTOPHER SANYA
 TUNASIKILIZA
 VIJANA WAKIPOKEA KADI ZA CCM BAADA YA KUJIUNGA
 SASA WANAKULA KIAPO

CHAMA cha mapinduzi CCM Musoma mjini kimesema kazi iliyonayo kwa sasa ni kuzidi kujiimalisha kwa kuwakaribu na wanachama wake na kuhakikisha wanafanya mikakati ya nguvu ili kufanya vizuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Kauli hiyo ilitolewa na viongozi wa chama hicho katika uwanja wa shule ya msingi Nyamatare ikiwa ni muda mfupi baada ya kufungua ofisi ya kisasa ya chama hicho kwenye kata hiyo.

Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya CCM (NEC) Vedastus Mathayo amesema kama alivyoahidi aliposhinda nafasi hiyo ni kuhakikisha kila kata katika mji wa Musoma unakuwa na ofisi ya kisasa itakayowafanya viongozi na wanachama kufanya kazi za chama katika mazingira mazuri………subili habari zaidi!.

Post a Comment