0
  Wachezaji wa timu ya Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa katika mazoezi ya pamoja yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kirafiki kati yao na timu ya Kamati ya Amani ya Mkoa wa Arusha unaotarajiwa kuchezwa mwishoni mwa mwezi huu. 

Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unaotarajia kufanyika Oktoba 25.
 Mazoezi yakiendelea 
 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kulia) akishiriki katika mazoezi ya pamoja na timu yake yaliyofanyika leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
 Kontroo imelala hapa.......
 Mbona wa Arusha watakoma.....
 Mazoezi ya viungo......
 Kuweka misuli sawa.....
 Mazoezi ya viungo....
 Baadhi ya Wachezaji wakizungumza na kocha wao baada ya mazoezi.....
 Mazoezi ya viungo........Picha na zote kwa hisani ya sufiani mafoto

Post a Comment