TBL YAMWAGA MAMILIONI MASHINDANO YA MITUMBWI MUSOMA
Maandalizi ya kuanza mashindano
Meneja mauzo wa TBL mkoa wa Mara,Polycalip Makunja akihesabu kuashiria kuanza mashindano
kazi imeanza
Ajali pia zilihusika lakini huduma ya uhokozi ilikuwepo
burudani ni sehemu ya kunogesha
majaji wakiwa kazini
Mgeni rasmi RPC wa mkoa wa Mara,Philip Kalangi(katikati)akiwa na meneja mauzo wa kanda,Changwe,(kulia)na meneja mauzo wa mkoa wa Mara,Poly,kushoto,waakifatilia mashindano.
Timu kutoka baruti wakishangilia kuingia tano bora laundi ya kwanza
washindi upande wa wanawake wakimaliza mashindano na kushangilia
mabingwa upande wa wanaume wakimaliza mashindano
nahodha wa timu ya wanaume akijipoza na maji baada ya kumaliza mashindano
wakati wa kutoa zawadi
kiongozi wa timu ya wanawake akikabidhiwa kikombe na milioni 1
picha ya pamoja na washindi wanawake
bingwa upande wa wanaume akikabidhiwa kikombe
Post a Comment
0 comments