Viongozi wa kamati ya ulinzi na Usalama ya wilaya ya Musoma wakisubili tukio la kuapishwa
Viongozi wa dini pia walikuwepo
DC' Polepole (kushoto) akiteta jambo na mkuu wa wilaya ya Bunda |
Kamati ya ulinzi ya mkoa pia ilikuwepo
RC' Mulongo akiingia viwanja vya shughuli ya kiapo
DC' Polepole akiwa na wakuu wa wilaya za mkoa wa Mara
DC' Polepole akisaini kiapo
RC' Mulongo akizungumza baada ya kiapo
DC' Polepole akizungumza mara baada ya kiapo
Baadae akawa ni kuwashukuru watu mbalimbali waliofika
DC' Polepole akisalimiana na Afisa Mfawidhi wa PSPF mkoa wa Mara,Sudi Hamza
Hapa anakwenda kusalimiana na Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya mkoa wa Mara,Latens Wella
Anasalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha DP mkoa wa Mara,Nyakitita
Anasalimiana na kada wa CCM,Robert Zembwela
Baada ya shughuli za kiapo uelekeo ulikuwa kwenye shughuli ya picha za kumbukumbu
Mkuu wa mkoa akiwa na wakuu wa Wilaya
Picha na kamati ya ulinzi na ujasala ya mkoa
DC' Polepole akiwa na DC' Luoga wa Tarime,picha chini akiwa na Mwandishi wa Azam Tv,Augustine Mgendi
Post a Comment
0 comments