Mayenga akifurahi jambo na wadau waliomsindikiza
Kila mmoja alikuwa akihitaji kupata picha za tukio hilo
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi,Ostack Mrigo,akipokea fomu ya Mayenga baada ya kurudisha
Mayenga akiwa na "Wife) pembeni kabla ya kukabidhi fomu
Wadau wakishuka kutoka ofisi ya kamati ya uchaguzi
Nje ya ofisi baada ya kurudisha fomu
Martin Mumbala,mchezaji mkongwe akiwa ameinama kupata picha nzuri
Mayenga akielezea mipango yake mbele ya vyombo vya Habari
Baadae kama kawaida nje ya uwanja wa Karume baada ya kutoka kurudisha fomu
Mama wa Mwenyekiti kushoto akitoa taarifa za kurudisha fomu
Mgombea akiwa na familia |
Dommy Othuman Juma,mmoja wa wanakamati wa Mayenga akizungumza jambo |
Post a Comment
0 comments