Mayenga ambaye ameonekana kuungwa mkono na wachezaji wakongwe wakati wa kuchukua fomu ameahidi kuleta mabadiliko kwenye soka la mkoa wa Mara kwa kuja na mipango ya uongozi wa kuwashirikisha wadau
Mayenga akitinga kuchukua fomu
Mtoto akimsindikiza baba kuchukua fomu
Magari ya wadau wakimsubili Mayenga
Mtoto alikuwa sambamba muda wote
Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi akimpa maelezo mgombea
Hongera
Wadau wakimpongeza
Hongera
Kila mmoja anafuraha
Wakongwe wakimpongeza Mayenga
Pongezi zinaendelea
Ni shangwe tu
Mayenga akizungumza na Azam Tv
Mdau Sudi akizungumza na Azam baada ya Mayenga kuchukua fomu
Mzee Mainya pia alikuwepo
Mchumila akimpongeza Mayenga kwa kuchukua fomu
Pongezi zinaendelea
Baadae wadau walikutana nje ya uwanja wa Karume kuweka mipango
Baadae ilikuwa vinywaji
Post a Comment
0 comments