Msomi ameyasema hayo mara baada ya kumkabidhi Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara,Christopher Sanya, kama mmoja wa wananchi wa Tarafa ya Suba kwaajili ya kukabidhi kwa viongozi wa serikali wakiwemo madiwani wanaotoka kwenye maeneo hayo.
Amesema anajua umuhimu wa elimu na changamoto zilizopo katika kufikia elimu bora hivyo kutokana na kipato alichokipata kutokana na shughuli zake ameamua kutoa kiasi hicho cha fedha ili kuweza kusaidiana na serikali na wadau wengine katika kuinua elimu na kufikia malengo ya elimu bora kwa kila mmoja
Sehemu ya vifaa vya wanafunzi alivyovitoa |
Rama Msomi Bwana(kushoto)akiangalia moja ya jengo la darasa la shule ya Kinesi A lililochakaa |
Rama akikabidhi vifaa na fedha kwa walimu wa shule ya msingi Kinesi A
Moja ya vyumba vya madarasa vinavyojengwa kwa nguvu ya Rama Msomi
Wanafunzi wa shule ya msingi Kinesi A wakiwa wamekaa kwenye mawe wengine chini ambapo Rama Msomi,aliamua kuchangia kutengeneza madawati
Adha ya kupata elimu darasani
Rama akiwa na viongozi wa Tarafa ya Suba
Milioni 3 za kuanzia zilizotolewa na Ramadhani Msomi Bwana |
Post a Comment
2 comments
Power of god
Power of god