0
 ASKOFU wa Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Mara na Ukerewe,George Ojwang,(kuashoto),akikabidhi kiasi cha shilingi milioni 1 kwa mkuu wa mkoa wa Mara,Magesa Mulongo,kutokana na kuguswa na agizo lake ukamilishaji wa madawati na kuhakikisha wanafunzi wote wanakaa kwenye madawati agizo linaloishia juni 30 na kusema kutokana na umuhimu wa agizo hilo nao wameamua kuchangia.
 Mkuu wa Usalama wa taifa mkoa wa Mara kupitia warumishi wa ofisi hiyo nao walikabidhi madawati 10 yenye thamani ya shilingi laki 8
 Baadae Mulongo alikwenda wilayani Tarime kupata taarifa ya madawati
 Maagizo kwa mkuu wa wilaya ya Tarime Glorius Luoga,ambaye anakwenda vizuri katika ukamilishaji wa madawati
 Mbao zilizopo Tarime kwaajili ya madawati
 Madawati yaliyotengenezwa Manispaa ya Musoma ambapo pia Mulongo alitembelea
 Manispaa
 Mafundi wakiendelea na kazi Serengeti
 Mkuu wa Wilaya ya Serengeti,Maftaha Mohamed akitoa taarifa ya madawati
 Mulongo akimsikiliza Mwenyekiti wa halimashauri ya Serengeti
 Mzigo wa Bunda
 Gari ikijiandaa kuelekea mashuleni kugawa mjini Bunda


Mkuu wa wilaya ya Bunda,Joshua Mirumbe, akielezea hali ya madawati kwa mkuu wa mkoa

Post a Comment