0

Wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani Mara kupitia umoja wa (Mara Kwana) kupitia Mwenyekiti wake wa muda,Christopher Sanya,wamekutana kwenye kikao chake cha kwanza leo mjini Musoma katika kupanga masuala kadhaa ya kuwasemea wananchi kwenye serikali na kusukuma mbele maendeleo ikiwemo masuala ya elimu,afya,miundombinu,uchumi na mambo ya kijamii
 Makamu Mwenyekiti wa umoja wa Mara Kwanza,Magori Zembwela,akichangia kwenye kikao cha kwanza cha umoja huo
 Mmoja wa wajumbe,Marwa Mathayo akichangia kwenye kikao hicho
 Amani Josia nae akichangia
 Wajumbe wakiendelea kuchangia
 George Marato akichangia kikao hicho
 Robert zembwela akitoa maelezo kwenye kikao hicho
 Kaka Stanley Magesa akitoa maelezo na kuchangia kikao hicho
 Mwenyekiti Sanya akiendelea kutoa misingi ya umoja wa Mara Kwanza


 Marwa Mathayo akichangia
 Mkuu wa nidhamu,David Katikiro,pia alichangia

Post a Comment