0

MKUU wa mkoa wa Mara,Dk.Charles Mlingwa,amewaponhgeza Waandishi wa Habari wa mkoa kwa ushirikiano wao wa karibu katika kuutangaza mkoa hususani katika fursa mbalimbali za uwekezaji likiwemo suala la viwanda ambapo kwa kusisitiza hilo katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari wamekuja na kauli mbiu isemayo""Sasa ni wakati wa Habari za uwekezaji katika Viwanda Mara" na kuguswa na kazi inayofanya Club ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mara na kuamua kuichangia shilingi laki tano.
Meneja Uhusiano wa mgodi wa Acacia North Mara,Saimon Sanga,akizungumza namna mgodi huo unavyoshirikiana na Waandishi wa Habari ambapo pia walichangia kufanikisha maadhimisho hayo kufanyika vizuri zaidi


 Wanahabari wakifatilia maadhimisho hayo
 Mwenyekiti wa Mara Press Club(Mugini Jacob(kushoto)akiwa na mkuu wa mkoa wa Mara,Dk.Charles Mlingwa 
 Mwenyekiti akitoa taarifa ya Chama
 Mwahabari George Marato(kulia) akibadilishana jambo na Katibu wa chama cha ACT-Wazalendo mkoa wa Mara,David Katikiro,kwenye maadhimisho hayo

Meneja wa Sido mkoa wa Mara,akizungumzia masuala ya viwanda kwenye maadhimisho hayo

 Mwenyekiti wa TCCIA mkoa wa Mara,Boniphace Ndengo pia alipata fursa ya kuzungumza kwenye maadhimisho hayo
 Kutoka mfuko wa PSPF-Meneja wa mkoa wa Mara,Deogratius Njuu,pia alizungumza na wanahabari na wadau waliohudhuria
 Mwakilishi wa Azam Tv mkoa wa Mara,Augustine Mgendi,alitoa mawazo yake kwa viongozi wa serikali namna ya kuhakikishiwa ulinzi kwa Waandishi wa Habari
 Mmoja wa Waandishi waliofanikiwa na kupata tuzo mbalimbali,Dinna Maningo,akizungumza namna anavyofanikiwa kwenye kazi zake za uandishi
Mkuu wa Wilaya ya Musoma,Dk.Vicent Naano,pia alizungumza na Wanahabari kwenye maadhimisho hayo
 msisitizo kutoka kwa mkuu wa mkoa
 Picha ya pamoja ya Waandishi wa Habari wa mkoa wa Mara
 Picha na wadau waliohudhuria maadhimisho hayo
Picha viongozi wa kamati ya utendaji ya Mara Press Club
 Waandishi wakipata kumbukumbu
Masuala ya msosi pia yalihusika

Post a Comment