0
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF) mkoanwa Mara, imeendesha zoezi la upima na kutoa ushauri kwa wanamichezo mjini Musoma ili kuweza kuhamasisha na kutambua umuhimu wa kuangalia afya mara kwa mara ili kuweza kujilinda na magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo sukari na shinikizo la damu ambayo yamekuwa yakiwasumbua watu wengi. 

 Zoezi hilo liliendeshwa na mfuko huo kwa kushirikiana na klabu ya mazoezi ya Musoma Veterani ambayo likiambatana na bonanza la michezo lililoshirikisha timu 4 za manispaa ya Musoma
 Mwakilishi wa mfuko huo mkoa wa Mara,Isack Katende(pichani) alisema kupima afya mara kwa mara kuna umuhimu mkubwa na kuwataka wanamichezo kujenga utamaduni wa kupima mara kwa mara ili kutambua afya
 Wachezaji wa Musoma veterani wakijiandaa kupima
 Mwakilishi wa Musoma veterani,Afidh Waziri akizungumzia umuhimu wa kupima na kujua afya
 Vipimo vikiendelea


 Mmmoja wa wanamichezo akipwa sukari
 Mwenyekiti wa Musoma veterani,Ahmed Salum,akisubilia majibu
 Afidh Waziri,akipata ushauri baada ya kufanyiwa vipimo
 Ushauri ukiendelea kutolewa
 Afisa wa NHIF mkoa wa Mara wakionyeshana kitu na mmoja wa wachezaji wa Musoma veterani
 Ushauri ukitolewa
 vipimo vinaendelea

 Picha kabla ya kuanza kwa bonanza



Post a Comment